Chakula
Jiografia Afrika
Historia Afrika
Filamu/Muziki
General
100

"Injera" ni chakula maarufu Afrika. Kinapatikana nchi gani?

Ethiopia

100

Ziwa kubwa barani Afrika ni ziwa gani?
(största sjö i Afrika)

Victoria, Tanzania

100

Rais wa kwanza wa Congo alikuwa nani?

a) Patrice Lumumba
b) Mobutu Sesse seko
c) Laurent Kabila

Patrice Lumumba

100

Nchi gani afrika kuna sanaa ya filamu inayoitwa Nolywood?

Nigeria

100

Lugha inayoongelewa sana Afrika mashariki?

Swahili

200

"Fufu" ni chakula gani na kinapikwa sana nchi gani?

Ugali
Ghana, Nigeria

200

Taja nchi mbili za afrika zinazo zungumza kifaransa.
Två Afrikanska länder där talar man franska?

congo, burundi, rwanda, ivory coast, Chad, Senegal, 

200

Rais wa Rwanda ni nani?

Kagame.

200

Nani aliimba wimbo wa "Waka Waka" kwenye kombe la Dunia Mwaka 2010

Shakira.

200

Watu wafupi sana wanaoishi msituni Congo, Kameruni na Afrika ya kati wanaitwaje?

Pigmi /Mbilikimo

300

"Jollof" ni chakula gani na kinapikwa sana kwenye nchi gani Afrika

Wali/Pilau

Ghana na Nigeria

300

Jangwa kubwa kaskazini mwa Afrika linaitwaje?

Sahara
300

Nchi za Afrika zimedai ramani ya dunia irekebishwe ioneshe vizuri bara la Afrika.  Ile ramani ya zamani ina shida gani?

Inaonesha Afrika iko karibia swa na Grönland wkati  Afrika ni kubwa mara 14 ya Grönland.

300

Mwanamuziki wa Nigeria aliyependekezwa kupokea tuzo ya Grammy in 2026 kwa wimbo "With You"

Davido

300

Madini (mineral) muhimu sana kutoka Congo yanayotumika kutengeneza simu na elektroni kama Iphone, Kompyuta, Tv .. yanaitwaje?

Coltan

400

"Muamba ya Soso na "Pondu" (saka saka) ni vyakula maarufu sana katika nchi gani?

Congo Kinshasa


400

Nchi kubwa kuliko zote Afrika? ni ipi?
a) Congo
c) Libya
d) Algeria

Algeria

400

Rais wa kwanza mweusi wa Syd Afrika baada ya wakoloni kutolewa kwenye uongozi alikuwa nani?

a) Mobutu Sesse Seko,  b)Nelson Mandela,
c) Julius Nyerere

Nelson Mandela

400

wapiga goma maarufu "Abatimbo" wanapatikana nchi gani ya Afrika Mashariki?

Burundi

400

Ziwa gani Afrika mashariki lina kina kirefu sana kuliko yote?
(djupaste sjö i östafrika)

Ziwa Tanganyika

500

"Kaffe"/Kahawa iligunduliwa nchi gani Afrika?

Vilkelt land i Afrika är kaffets ursprungsland?

Ethiopia

500

Mji mkuu wa Somali ni upi?
(Somalias huvudstad)

Mogadishu


500

Zamani Tanzania ilikuwa inaitwa kwa jina gani?

Tanganyika

500

Mwanamuziki maarufu sana nchini Tanzania ni nan?

Diamond Platnumz

500

Nchi gani ipo ndani katikati kabisa ya Afrika ya kusini?

ett land som ligger helt omgivet av Sydafrika ?

Lesotho

M
e
n
u