Ufalme wa mungu ulianza kutawala mbinguni lini?
1914
Ibada yetu inategemea nini?
Yohana 17:17 "Neno lako ni kweli"
Yesu alizaliwa wakati gani?
When was Jesus born?
Wakolosai 1:15
Kwa nini hali zimekuwa mbaya sana tangu Ufalme wa Mungu uanze kutawala?
" Alitupwa chini, duniani, na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye'' Ufunuo 12: 9, 10, 12
Tunapaswa kumpenda mungu kwanguvu zetu tu. True or False?
Kumbukumbu la torati 6: 3
Mungu anakataza Matumizi gani ya damu?
Wasile Damu. Mwanzo 9:4
Ni kazi gani muhimu inayoonyesha kwamba ufalme wa mungu unatawala?
Mathayo 24: 14
jinsi gani tunaweza kuonyesha tunampenda mungu?
Tushike amri zake. 1 yohana 5:3
---- Wa kila kiumbe umo katika ---- yake.
Uhai, damu. Walawi 17:14
Ile ndoto ya mti inausisha nani katika Utimizo wa kwanza?
Nebukadneza, Danieli 4: 34 -36
Tunanufaika namna gani tunapo mtii Yehova?
Isaya 48;17,18
Je tunaweza kuomba mtu kutufanyia uamuzi kuhusu visehemu tunavyo weza kupewa? Kwanini?
Waroma 14:12 "Kilammoja wetu atatoa hesabu yake"
Ufalme wa mungu ungeanza kutawala mwishoni mwa kipindi kinachoitwa-----------.
"Nyakati saba." Danieli 4: 16,17
Yesu alisema "Nyakati zilizowekwa za mataifa". Luka 21: 24
-- Yehova, chukieni maovu. Anaulinda uhai wa washikaminifu wake; Huwaokoa kutoka katika mkono wa mwovu.
"Enyi mnaompenda" Zaburi 97: 10
Kwanini tunaitaji kujifunza kumhusu yesu?
Yohana 14: 6, 17:3