Huu ni wimbo upi:
Ee, Yehova, una hekima nyingi;
Nafsi yangu inajua vema.
Hata katika giza la usiku,
Roho yako itaniongoza.
WIMBO NA. 5
Kazi za Mungu za Ajabu
Yesu anatajwa kwa majina mangapi kwenye Biblia, yataje. (Si vyeo vyake)
Matatu, Yesu, Mikaeli, Imanueli
Katika mwaga gani jina letu lilibadilishwa kuwa Mashahidi wa Yehova?
1931
Fimbo ndio kilicho amua matokeo ya uhai wake
Malikia Esta
Nyimbo ya kwanza iliyoyungwa 'the best life ever' ilitolewa mwaka gani?
2014
Yesu alimfufua mtoto wa?
Yairo, mmoja wa maofisa wasimamizi wa sinagogi
Mnara wa Mlinzi ilianza kuchapishwa mwaka gani?
1879
Yaeli alitumia haya mambo mawili kumtuliza Sisera alale?
Blanketi na Maziwa
Wimbo 'Upendo Usioshindwa" ulitoka kwenye kusanyiko ipi (kichwa cha kusanyiko) na ilikuwa mwaka gani?
"Upendo Haushindwi kamwe"! mwaka 2019
Yesu alikuwa na wafuasi gani sura yake ilipogeuka kwanye mlima mrefu?
Petro, Yakobo, Yohana
Taja njia 5 michango zetu hutumiwa
Ujenzi, Watumushi wa wakati wote, Machapisho, Makusanyiko, Misiba za Asili (DRC), Kutegemeza mabetheli na majengo za ibada
Dada aliyefufuliwa na Petro aliitwa nani?
Dorkasi au Tabitha
Maliziza wimbo ( angalau maneno matano sahihi):
Tumwige Mungu, tuwe na upendo
Kwa ndugu na dada.
Tuwe tayari kuwasaidia,
Wa zamani; wapya pia.
Tuwaonyeshe upendo mwororo.
Tusibague huyu au yule.
Tuwasamehe watukoseapo.
Tuwapende; tupende wote.
WIMBO NA. 107
Mungu—Kielelezo cha Upendo
Taja majina ya wafuasi wote 12 wa Yesu
Petro, Andrea, Yakobo, Yohana, Filipo, Batholomayo, Tomasi, Mathayo, Yakobo, Thadayo, Simoni, Yuda Iskariote
Kusanyiko amabayo Ndugu Rutherford alisema "Tangazeni, Tangazeni Tangazeni Mfalme na Ufalme wako" ilifanyika wapi?
Ceder point, Ohio, Marekani
Jina wa nabii aliyetabiri kifo chenye amani cha Mfalme Yosia
Hulda
Huu ni wimbo upi?
Neno lina nguvu, lapenya moyo.
Linatambua fikira na nia.
Sheria zako njema,
na ni kamilifu.
Zaturekebisha, zatuongoza.
WIMBO NA. 94
Kulithamini Neno la Mungu
Taja jina la dimbwi ambayo wagonjwa waliingia kwa sababu walifikiri maji yake yaliweza kuwaponya
Dimbwi la Bethzatha
Taja maraisi wote wanne wa tengenezo? Yani wale kable ya kuwa na baraza la kuongoza
Ndugu Russel, Rutherford, Knorr, Franz
Mwanamke peke aliyewahi kuwa malikia kwenye historia za taifa la Israeli
Malikia Athalia