Lugha na Misemo ya Kiswahili
Historia na Mafanikio ya Afrika
Utamaduni na Urithi wa Kiswahili
Wataalamu wa Kiswahili
Wasanii Maarufu wa Kenya wa Nyimbo za Kiswahili
100

Shairi ambayo ina mizani minane na minne, huitwaje?

Msuko.

100

The legendary Nigerian musician Fela Kuti pioneered this politically charged musical genre.

Afro-beat

100

What was the first genre of Kiswahili music in East Africa

Taarab

200

Shairi ambayo inaupande mbili, inaitwaje?

Mathnawi

200

Mji huu wa pwani ya Kiswahili nchini Kenya ni maarufu kwa sherehe zake za jahazi na usanifu tajiri wa Kiislamu-Kiswahili

 

Lamu

200

This Tanzanian linguist and leader was key in promoting Kiswahili as a national and regional language.

Mwalimu Julius Nyerere.

200

Anajulikana kama baba wa fasihi ya Kiswahili ya kisasa, mwandishi wa Siku Njema na Kufa Kuzikana.

Ken Walibora

200

Wasanii hawa wa Kenya waliimba kuhusu faida ya vijana kusoma

SAUTI SOL - SOMA KIJANA

300

Sentensi ya mwisho ambayo hurudiwa katika shairi huitwaje? Taja visawe vyake pia.

Kituo, Mkarara, Kibwagizo, Kimalizio.

300

Nchi hii ya Afrika ndiyo ya kwanza kupata uhuru barani mwaka 1957

Ghana

300

Lugha ya Kiswahili ilianza kutumika karne kadhaa zilizopita kama matokeo ya mchanganyiko wa tamaduni hizi tatu.

Kiarabu, Kibantu, makabila ya pwani

300

Shairi ambayo ina mizani minane na minne, huitwaje?

Msuko.

300

Wasanii hawa ni wenjeyi wa Buruburu na wanajulikana kwa Muziki wa Kiswahili na genge

Buruklyn Boys

400

Neno uhuru lilitumiwa sana wakati wa harakati za ukombozi wa Afrika na linamaanisha nini?

Freedom

400

Nchi hii ya Afrika iliweka historia kwa kuwa ya kwanza kufika nusu-fainali za Kombe la Dunia mwaka 2022 na kumaliza nafasi ya nne.

Morocco


400

Falsafa hii ya Kiafrika inasisitiza jumuiya, ubinadamu wa pamoja, na wazo kwamba "Mimi ni kwa sababu sisi ni? - 

Ubuntu

400

Msomi huyu wa Tanzania alikuwa mtu mashuhuri katika taaluma ya Kiswahili kwa zaidi ya miongo mitano, maarufu kwa mchango wake katika lugha na fasihi.


Profesa Abdulaziz Mkilifi

400

Kundi hili la muziki lilipata umaarufu mkubwa katika miaka ya 2000 kupitia nyimbo kama “Unbwogable na Atoti.”

Gidi Gidi Maji Maji

500

Taja sehemu nne za shairi - Wima

Ukwapi, Utao, Mwandamizi, Ukingo.

500

Taja jina la Mshairi wa kwanza wa kike

Mwana Kupona binti Msham - Born in Pate Island, Kenya

500

Mji huu wa pwani ya Afrika Mashariki unachukuliwa kuwa moyo wa kihistoria wa utamaduni wa Waswahili.

Mji wa Lamu

500

Methali ya Kiswahili “Mwacha mila ni mtumwa” inasisitiza umuhimu wa nini?

Kuhifadhi mila na tamaduni zetu.

500

Msanii huyu alijulikana sana miaka ya 2000 kwa wimbo wake “Bidii Yangu” na mtindo wa Genge.

Juacali

M
e
n
u