Mungu Wetu
Uwe Rafiki ya Yehova
Biblia na unabii
Andiko gani?
100

Jina la Mungu.

Yehova (Zaburi 83:18)

100

Mtu mwenye anampenda Yehovah anafanya hii kila siku "kwa sauti ya chini mchana na usiku."

Kusoma Biblia na kuitafakari. (Zaburi 1:2)

100

Yehova alitumia --- yake kuongoza wanadamu kutabiri unabii na kuandika neno lake katika Biblia.

Roho takatifu (2 Petro 1:21)

100

"Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova, Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote."

Zaburi 83:18

200

Maliza andiko: Mungu ni (sifa gani)

Mungu ni Upendo (1 Yohana 4:8)

200

Tunafanya mambo haya mawili kuwasiliana na Yehova.


Tunazungumza na Yehova kupitia sala, na Yehova anazungumza nasi kupitia Biblia.

200

Andiko hili linatupatia tumaini kwa wakati ujao. Ni ahadi yenye Yehova anatupatia na habari njema tunapenda kuwambia wengine.

Ufunuo 21:4 "Naye atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena, wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.i Mambo ya zamani yamepitilia mbali.”

200

Maliza andiko: Usiogope, kwa maana...

                            Usihangaike, kwa maana...

Isaya 41:10 "Usiogope, kwa maana niko pamoja na wewe. Usihangaike, kwa maana niko Mungu wako..."

300

Sababu hatupaswi kuogopa au kuhangaikia.

Isaya 41:10, 13 "10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe. Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako. Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’

"13Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika kwa nguvu mkono wako wa kulia, Mimi ninayekuambia, ‘Usiogope. Nitakusaidia.’"

300

Sababu fulani tunapaswa kuhudhuria mikutano kwa ukawaida.

Waebrania 10:24, 25 "24Na acheni tufikiriane ili kuchocheana katika upendo na matendo mazuri 25bila kuacha kukutana pamoja, kama wengine walivyo na desturi, bali tutiane moyo, na kufanya hivyo zaidi kwa kadiri mnavyoona siku ile ikikaribia."

300

Andiko hili linatufundisha kwamba "Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu nalo ni lenye faida..."

2 Timotheo 3:16

300

2 Timotheo 3:16

"Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu na liko na faida kwa kufundisha, kwa kukaripia, kwa kunyoosha mambo, kwa kutia ­nizamu ­katika haki,"

400

Taja andiko yenye inatusaidia kujua kwamba ni Yehova mwenye aliuumba ulimwengu na kwamba ulimwengu haikujitokeza tu wenyewe. Na pia Eleza andiko.



Waebrania 3:4 Kama vile nyumba haiwezi kujitokeza wenyewe bila mjenzi, ulimwengu na maisha yenye iko ngumu zaidi na ya kushangaza kuliko nyumba uliumbwa na Yehovah Mungu.


400

Eleza kwa nini Yehova ni rafiki bora zaidi.

Yehova ni Upendo (1 Yohana 4:8)

Yehova anatuahidi kwamba atakuwa pamoja nasi na kwamba atatusaidia, hatatuacha wakati tuko na matatizo. (Isaya 41:10,13)

400

Biblia ilitabiri hali hizi zenye tunaona leo katika siku za mwisho.

Luka 21:10, 11 "...Taifa litapigana na taifa,na ufalme kupigana na ufalme.11 Kutakuwa na matetemeko makubwa ya ardhi, na magonjwa na upungufu wa chakula katika sehemu mbalimbali; pia kutakuwa na mambo yenye kuogopesha na ishara kubwa kutoka mbinguni."

Mathayo 24:6,7

400

Waebrania 3:4

"Bila shaka, kila nyumba hujengwa na mtu fulani, lakini yule aliyevijenga vitu vyote ni Mungu."

M
e
n
u