Matukio ya Biblia
(Bible Events)
Maandiko
(Scriptures)
Unabii
(Prophecy)
Watu wa Biblia
(Bible Characters)
Tengenezo Letu
(Our Organization)
100

Waisraeli walikimbia na kutoka Misri na wakafika Bahari Nyekundu, ni nini ilitokea hapo?


BONUS: Musa alipokea Mwongozo gani?

Bahari Nyekundu Iligawanyika


BONUS: Kunyoosha Mikono Yake Juu

100

Ufunuo 21: 4

BONUS: Nukuu mstari kamili

Na atapanguza kila chozi katika macho yao, na kifo hakitakuwa tena, wala maombolezo wala kilio wala maumivu havitakuwa tena. Mambo ya zamani yamepita kabisa.

100

Ni nini ilitokea ku Mwaka wa 1914?

Ufalme wa Mungu ulianza kutawala

100

Ni nani alikuwa mzee zaidi(oldest) kuliko mwingine wowote mu Biblia?

Metusela

100
Kabla ya kutumia kitabu “Furahia Maisha Milele”, tulikuwa tunatumia vitabu gani ili kujifunza Biblia na watu?

Biblia inatufundisha nini? & Namna ya Kubakia Katika Upendo wa Mungu

200

Waisraeli walikuwa wanatemebea jangwani kwa muda gani kabla ya kuruhusiwa kuingia Nchi ya Ahadi? 


BONUS: Yehova alikuwa anawategemeza mu njia gani ya kimwili?

Miaka 40


BONUS: Mifano: Mana na Mavazi 

200

Maliza andiko hiyo na sema ni andiko gani mu Biblia:

“Katika mwanzo Mungu aliumba…” 

Mwanzo 1:1 - “Katika Mwanzo Mungu Aliumba Mbingu na Dunia”
200

Waisraeli walikamatwa mateko na Wababiloni mu mwaka gani? Na waliwekwa huru mu mwaka gani?

BONUS: Ilikuwa Ufalme wa Kusini au wa Kaskazini waliokamatwa na Wababiloni?

607BCE & 537BCE


BONUS: 2 Tribe Kingdom of Judah

200

Ni mufalme gani aliyewatupa Shadraki, Meshaki, Abednego mu moto?

Mufalme Nebukadeza

200

Shule ya Gileadi iko inafundishwa wapi?

Patterson
300

Ni nini iliyotokea kwenye Mlo wa Jioni wa Bwana?



Walikunya Divai na Kula Mkate na Yesu alianzisha agano jipya

300

Fasiria kile kinachotokea kwenye Matayo 5-7

BONUS: Nukuu angalaou msatri moja kutoka kwa hizo

Umati mukubwa ulikusanyika ku mulima wa Mizeutuni na Yesu alifundisha wote. Inajulikana sana kuwa Mahubiri ya Mlimani.

300

Fasiria unabii uliotolewa zamani ambao unathibitisha kwamba Yesu ni Masiya


BONUS: Taja andiko lenye kutoa huo unabii

Ona Kitabu - Yesu- Ni Njia, Kweli, na Uzima

300

Kati ya Mitume yote, ni Nani aliyekuwa rafiki yake ya karibu zaidi?

Yohana

300

Mu Mwaka wa 2013 na 2014, kulitokea tracti 8 mpya kutoka tengenezo, taja yote

1. Je, Kuteseka Kutaisha?

2. Je, kweli wafu wataishi tena?

3. Ni nani hasa anayeuongoza ulimwengu?

4. Ni nini siri ya kuwa na familia yenye furaha?

5. Tutapata wapi majibu ya Maswali Muhimu Maishani?

6. Ufalme wa Mungu ni nini?

7. Una Maoni Gani Kuhusu Biblia?

8. Una Maoni Gani Kuhusu Wakati Ujao?

400

Mfalme wa Babiloni alipanga tafrija na kwenye hiyo tafrija mkono ulitokea na kuandika nini ukutani?


BONUS: Leta utafsiri wa hayo maneno

MENE MENE TEKEL PARSIN 

BONUS:

MEʹNE means that God has numbered the days of your kingdom and brought it to an end. 

TEʹKEL means that you have been weighed on the scales and found to be no good. 

PARʹSIN means that your kingdom is given to the Medes and the Persians.”

400

Ni nini inaongolewa mu Wagalatia 5:22?


BONUS: Nukuu mstari kamili

Tunda la Roho Takatifu

Walagatia 5:22 - Kwa upande mwingine, tunda la roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, fazili, wema, imani,

400

Fasiria Kila Sehemu ya Sanamu kubwa zinazozungumziwa kwenye Unabii wa Danieli


1. Babiloni (Kichwa cha Zahabu[Gold])

2. Umedi na Uajemi (Kifua na mikono yake ya Feza [Silver])

3. Ugiriki (Tumbo na mapaja yake ya Shaba [Copper])

4. Roma (Miguu ya chuma [Iron])

5. Uingereza na Marekani (Feet ya chuma na udongo [Iron & Clay])

400
Mke wa Yakobo alikuwa nani?

Raheli

400

Kunakuwa badiliko gani la mikutano yetu ya katikati ya wiki ambalo litaanza Mwezi wa 1, 2024?

1. Kuanzisha Mazungumzo (Starting a Conversation)

2. Kuendelesha Mazungumzo (Following Up)

3.Kufanya Wanafunzi (Making Disciples)

4. Kufasiria Mambo Yenye Unaamini (Explaining Your Beliefs)

5. Hotuba (Talk)

500

Paulo alifanya safari ngapi ya umisionere? Taja mahali 3 alipotembelea.


BONUS: Taja mahali alipoenda na alienda mahali hiyo kwenye safari gani ya umisionere?

Safari ya 1 ya Umisionere: Antioch of Syria, Cyprus (Salamis/Paphos), Perga, Antioch of Pisidia, Iconium, Lystra, Derbe, Attalia


Safari ya 2 ya Umisionere: Antioch of Syria, Tarsus, Derbe, Lystra, Iconium, Antioch of Pisidia, Troas, Neapolis, Philippi, Amphipolis, Apollonia, Thessalonica, Beroea, Athens, Cenchreae, Ephesus, Caesarea, Jerusalem, Ptolemais


Safari ya 3 ya Umisionere: Cyrpus (Salamis/Paphos) Perga, Antioch of Pisidia, Iconium, Lystra, Derbe, Attalia, Seleucia

500

Taja maandiko 3 ambayo yanaweza kuthibitsha kwamba fundisho la utatu ni ya uwongo

Mifano:

1 Tim 2:5

1 Kor 15:28

Matayo 16:16

Yohana 17:20, 21

Yohana 14:28

1 Kor 11:3

Philipians 2:5, 6

Kol 1:15

500

Matukio ambayo yataongoza kwenye vita vya Har-Magedoni

1. Mambo ya ajabu yataonekana katika mbingu (Celestial Phenomena)

2. Kutoa Hukumu (Pronoucement of Judgement)

3. Gogu wa Magogu atashambulia Watu wa Mungu (Attack by Gog of Magog

4. Kukusanywakwa watiwa-mafuta (Gathering of anointed ones)

5. Kutimiza Hukumu (Execution of Judgement)

500

Taja Mitume yote 12 ya Yesu?


BONUS: Taja ule aliyekuja baada ya mumoja kumwasi Yesu

Petro, Andrea, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartolomayo, Tomasi, Matayo, Yakobo (Mwana wa Alfayo) Tadayo, Simoni, na Yuda Iskariote


BONUS: Matthias

500

Taja jina la kila mumoja wa Baraza lenye Kuongoza

Cook, Herd, Jackson, Lett, Losch, Sanderson, Splane, Fleegle, Winder