Familia
(Family)
Ni saa ngapi?
(What time is it?)
Tafsiri
(Translate)
Salamu na Kujitambulisha (Greetings & Introductions)
Sifa
(Adjectives)
100

Mama yangu anaitwa nani?

Mama yako anaitwa Elizabeth.

100

7:00 AM

Saa moja asubuhi.

100

Wana kaka watatu.

They have three brothers.

100

Hujambo?

Sijambo.

100

What is the opposite of "mzuri"?

Mbaya

200

Nyanya yangu anaitwa nani?

Nyanya yako anaitwa Stephanie.

200

4:00 PM

Saa kumi jioni.

200

Wewe ni mwanafunzi hodari.

You are a skillful student.

200

Give two ways of saying goodbye.

Kwa heri

Tutaonana baadaye

Siku njema

Usiku mwema

200

Line 1: ------------------------------

Line 2: --------

Line 2 ni fupi au ndefu?

Line 2 ni fupi.

300

Dada yangu anaitwa nani?

Dada yako anaitwa Madison.

300
11:00 AM

Saa tano asubuhi.

300

Darasa letu ni fupi leo.

Our class is short today.

300

Shikamoo

Marahaba

300

Baba ni mkali sana. Tafsiri!

Dad is very strict.

400

Binamu yangu anaitwa nani?

Binamu yako anaitwa Gillian.

400

2:30 PM

Saa nane na nusu mchana.

400

Mama yake husoma vitabu Jumamosi.

Her mom usually reads books on Saturdays.

400

Uko salama?

Niko salama.

400

Watoto ni wavivu. Tafsiri!

The children are lazy.

500

Mjomba wangu anaitwa nani?

Mjomba yako anaitwa Bret.

500

9:45 PM

Saa nne kasorobo usiku.

AU

Saa tatu na dakika arobaini na tano.

500

Yeye hula chakula cha mchana saa tano na nusu asubuhi.

He/she usually eats lunch at 11:30 AM.

500

Unatoka wapi?

Ninatoka ______.

500

Wanafunzi ni werevu. Tafsiri!

The students are clever/smart.