(Bible Events)
Waisraeli walikimbia na kutoka Misri na wakafika Bahari Nyekundu, ni nini ilitokea hapo?
BONUS: Musa alipokea Mwongozo gani?
Bahari Nyekundu Iligawanyika
BONUS: Kunyoosha Mikono Yake Juu
Ufunuo 21: 4
BONUS: Nukuu mstari kamili
Na atapanguza kila chozi katika macho yao, na kifo hakitakuwa tena, wala maombolezo wala kilio wala maumivu havitakuwa tena. Mambo ya zamani yamepita kabisa.
Ni nini ilitokea ku Mwaka wa 1914?
Ufalme wa Mungu ulianza kutawala
Ni nani alikuwa mzee zaidi(oldest) kuliko mwingine wowote mu Biblia?
Metusela
Biblia inatufundisha nini? & Namna ya Kubakia Katika Upendo wa Mungu
Waisraeli walikuwa wanatemebea jangwani kwa muda gani kabla ya kuruhusiwa kuingia Nchi ya Ahadi?
BONUS: Yehova alikuwa anawategemeza mu njia gani ya kimwili?
Miaka 40
BONUS: Mifano: Mana na Mavazi
Maliza andiko hiyo na sema ni andiko gani mu Biblia:
“Katika mwanzo Mungu aliumba…”
Waisraeli walikamatwa mateko na Wababiloni mu mwaka gani? Na waliwekwa huru mu mwaka gani?
BONUS: Ilikuwa Ufalme wa Kusini au wa Kaskazini waliokamatwa na Wababiloni?
607BCE & 537BCE
BONUS: 2 Tribe Kingdom of Judah
Ni mufalme gani aliyewatupa Shadraki, Meshaki, Abednego mu moto?
Mufalme Nebukadeza
Shule ya Gileadi iko inafundishwa wapi?
Ni nini iliyotokea kwenye Mlo wa Jioni wa Bwana?
Walikunya Divai na Kula Mkate na Yesu alianzisha agano jipya
Fasiria kile kinachotokea kwenye Matayo 5-7
BONUS: Nukuu angalaou msatri moja kutoka kwa hizo
Umati mukubwa ulikusanyika ku mulima wa Mizeutuni na Yesu alifundisha wote. Inajulikana sana kuwa Mahubiri ya Mlimani.
Fasiria unabii uliotolewa zamani ambao unathibitisha kwamba Yesu ni Masiya
BONUS: Taja andiko lenye kutoa huo unabii
Ona Kitabu - Yesu- Ni Njia, Kweli, na Uzima
Kati ya Mitume yote, ni Nani aliyekuwa rafiki yake ya karibu zaidi?
Yohana
Mu Mwaka wa 2013 na 2014, kulitokea tracti 8 mpya kutoka tengenezo, taja yote
1. Je, Kuteseka Kutaisha?
2. Je, kweli wafu wataishi tena?
3. Ni nani hasa anayeuongoza ulimwengu?
4. Ni nini siri ya kuwa na familia yenye furaha?
5. Tutapata wapi majibu ya Maswali Muhimu Maishani?
6. Ufalme wa Mungu ni nini?
7. Una Maoni Gani Kuhusu Biblia?
8. Una Maoni Gani Kuhusu Wakati Ujao?
Mfalme wa Babiloni alipanga tafrija na kwenye hiyo tafrija mkono ulitokea na kuandika nini ukutani?
BONUS: Leta utafsiri wa hayo maneno
MENE MENE TEKEL PARSIN
BONUS:
MEʹNE means that God has numbered the days of your kingdom and brought it to an end.
TEʹKEL means that you have been weighed on the scales and found to be no good.
PARʹSIN means that your kingdom is given to the Medes and the Persians.”
Ni nini inaongolewa mu Wagalatia 5:22?
BONUS: Nukuu mstari kamili
Tunda la Roho Takatifu
Walagatia 5:22 - Kwa upande mwingine, tunda la roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, fazili, wema, imani,
Fasiria Kila Sehemu ya Sanamu kubwa zinazozungumziwa kwenye Unabii wa Danieli
1. Babiloni (Kichwa cha Zahabu[Gold])
2. Umedi na Uajemi (Kifua na mikono yake ya Feza [Silver])
3. Ugiriki (Tumbo na mapaja yake ya Shaba [Copper])
4. Roma (Miguu ya chuma [Iron])
5. Uingereza na Marekani (Feet ya chuma na udongo [Iron & Clay])
Raheli
Kunakuwa badiliko gani la mikutano yetu ya katikati ya wiki ambalo litaanza Mwezi wa 1, 2024?
1. Kuanzisha Mazungumzo (Starting a Conversation)
2. Kuendelesha Mazungumzo (Following Up)
3.Kufanya Wanafunzi (Making Disciples)
4. Kufasiria Mambo Yenye Unaamini (Explaining Your Beliefs)
5. Hotuba (Talk)
Paulo alifanya safari ngapi ya umisionere? Taja mahali 3 alipotembelea.
BONUS: Taja mahali alipoenda na alienda mahali hiyo kwenye safari gani ya umisionere?
Safari ya 1 ya Umisionere: Antioch of Syria, Cyprus (Salamis/Paphos), Perga, Antioch of Pisidia, Iconium, Lystra, Derbe, Attalia
Safari ya 2 ya Umisionere: Antioch of Syria, Tarsus, Derbe, Lystra, Iconium, Antioch of Pisidia, Troas, Neapolis, Philippi, Amphipolis, Apollonia, Thessalonica, Beroea, Athens, Cenchreae, Ephesus, Caesarea, Jerusalem, Ptolemais
Safari ya 3 ya Umisionere: Cyrpus (Salamis/Paphos) Perga, Antioch of Pisidia, Iconium, Lystra, Derbe, Attalia, Seleucia
Taja maandiko 3 ambayo yanaweza kuthibitsha kwamba fundisho la utatu ni ya uwongo
Mifano:
1 Tim 2:5
1 Kor 15:28
Matayo 16:16
Yohana 17:20, 21
Yohana 14:28
1 Kor 11:3
Philipians 2:5, 6
Kol 1:15
Matukio ambayo yataongoza kwenye vita vya Har-Magedoni
1. Mambo ya ajabu yataonekana katika mbingu (Celestial Phenomena)
2. Kutoa Hukumu (Pronoucement of Judgement)
3. Gogu wa Magogu atashambulia Watu wa Mungu (Attack by Gog of Magog
4. Kukusanywakwa watiwa-mafuta (Gathering of anointed ones)
5. Kutimiza Hukumu (Execution of Judgement)
Taja Mitume yote 12 ya Yesu?
BONUS: Taja ule aliyekuja baada ya mumoja kumwasi Yesu
Petro, Andrea, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartolomayo, Tomasi, Matayo, Yakobo (Mwana wa Alfayo) Tadayo, Simoni, na Yuda Iskariote
BONUS: Matthias
Taja jina la kila mumoja wa Baraza lenye Kuongoza
Cook, Herd, Jackson, Lett, Losch, Sanderson, Splane, Fleegle, Winder