SAUTI
SILABI
VIAMBISHI
NGELI
AINA ZA MANENO
100

sifa za irabu /a/

Irabu ya chini kati

mdomo huviringwa

100

Maana ya silabi

pigo moja la sauti

100

Viambishi ni nini

sehemu ya neno yenye maana kisarufi ambayo hupachikwa kabla na baada ya mzizi

100

Neno muuguzi liko katika ngeli gani

A-WA

100

kibadala ni neno gani

Kiwakilishi

200

Tofauti kati ya Irabu na konsonanti

irabu hutamkwa kwa ulaini ilhali konsonanti hewa haibanwi

200

Muundo wa silabi katika neno mto

M-to

K-KI


200

Taja kiambishi cha udogo

ki-toto

200

Taja neno lolote katika ngeli ya U-I

MTO

MTI

MKATE

200

Neno lililopigiwa mstari ni aina gani ya neno

wengi wamekuja

300

Sauti /p ni konsonanti gani ukizingatia jinsi ya kutamka

kipasuo

300

Taja aina za silabi katika neno mto

m-to

m- irabu funge

to- irabu wazi/huru

300

Taja aina mbili ya viambishi

Viambishi awali na tamati

300

Taja miundo miwili ya nomino katika ngeli ya LI-YA

o- ma

u-ny

300

Tunga sentensi ukitumia kivumishi cha pekee

o-te-

o-ote

enye

enyewe

400

Taja nazali ghuna ya ufizi

/n/

400

andika neno lenye muundo ufuatao wa silabi

III

aoa

oea

400

kiambishi nge katika neno angesoma kinaashiria nini

Kiambishi cha hali

400

Ngeli ya pa huleta maana gani

pahali dhahiri

400

Tunga sentensi ikitumia kielezi cha mahali

kesho

shuleni


500

Tofautisha sauti ghuna na sighuna

ghuna ni zinazotikisa nyuzi sauti zinapotamkwa ilhali sighuna hazitikisi nyuzi sauti

500

Andika neno lenye silabi mwambatano ya kaakaa laini

kunywa

500

Kiambishi si kinaonyesha nini katika neno sikuenda

ukanusho wa nafsi

500

Andika kwa wingi

Nyumba hii inanuka shombo ya mkunga

Nyumba hizi zinanuka shombo za wakunga

500

ainisha maneno katika sentensi hii

Huyu ni mkulima hodari

Huyu ni mkulima hodari

N        T     N       V

M
e
n
u