Siasa
Elimu
Dalili
Magonjwa
vitenzi
General
100

Chama cha Repabliki, Demokratiki, ODM,UDA,CCM, CHADEMA

Vyama vya siasa

100

shule_________ni ghali sana

binafsi

100

unasemaje "nausea" kwa Kiswahili?

kichefuchefu

100

unasemaje "Tuberculosis" kwa Kiswahili?

Kifua Kikuu

100

unasemaje "feel" kwa Kiswahili?

hisi

100

Unasemaje "ambulance" kwa Kiswahili?

ambulensi/gari la wagonjwa

200

Marekani kuna rais na _______________

Makamu wa rais

200

Baada ya kumaliza elimu ya sekondari hapa Marekani unajiunga na ___________________

shule ya upili

200

unasemaje "vomit" kwa Kiswahili?

tapika

200

unasemaje "asthma" kwa Kiswahili?

pumu

200

unasemaje "hurt" kwa Kiswahili?

umwa

200

Unasemaje "ICU" kwa Kiswahili?

chumba cha wagonjwa mahututi

300

Tanzania kuna rais, __________, na ____________

makamu wa rais na waziri mkuu

300

Unapokuwa na miaka mitano utaanza__________

shule ya wali/chekechea

300

unasemaje "dizzness" kwa Kiswahili?

kizunguzungu

300

unasemaje "yellow fever" kwa Kiswahili?

homa ya mafua

300

unasemaje "broken" kwa Kiswahili?

vunjika

300

Unasemaje "surgery" kwa Kiswahili?

upasuaji

400

Uchaguzi nchini marekani ni kila baada ya miaka_____

minne

400

Jiografia, Kemoia, Fizikia, Hisabati, Kifaransa, Sanaa yote ni___________

masomo

400

unasemaje "itchy" kwa Kiswahili?

kuwashwa

400

unasemaje "diabetes" kwa Kiswahili?

kisukari

400

unasemaje "diarrhea" kwa Kiswahili?

harisha/endesha

400

Unasemaje "laboratory" kwa Kiswahili?

maabara

500

Alikuwa gavana wa New York. Jina lake ni______

Andrew Cuomo

500

Unaweza kutaalimikia Sheria na kusoma _________kama Kiingereza

masomo madogo

500

unasemaje "fever" kwa Kiswahili?

homa

500

unasemaje "cancer" kwa Kiswahili?

kansa/saratani

500

unasemaje "cough" kwa Kiswahili?

kohoa

500

Unasemaje "pain" kwa Kiswahili?

maumivu

M
e
n
u